SIMBA DAY 2024, Tarehe rasmi ya Simba Day ni 03 Agosti | TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika rasmi Agosti 3 badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka kila msimu kwenye timu ya Simba.
Tamasha hilo ambalo limekuwa kubwa na maarufu nchini limepangwa kufanyika Agosti 6 kutokana na ratiba kubana ndani ya kikosi hicho.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ahmed Ally amesema sababu ya kurudisha nyuma tamasha hilo ni kutokana na ugumu wa ratiba.
“Agosti 8 tutakuwa na mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC kule Arusha hivyo tumeona ni vyema kurudisha nyuma siku mbili ili tuwape wachezaji mapumziko, naamini tunaweza kufanya vizuri katika hiyo mechi.”
Tamasha hilo litakuwa ni la 16 tangu lilipoanzishwa mwaka 2009 na aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Hassan Dalali na katibu wake, Mwina Kaduguda.
![SIMBA DAY 2024, Tarehe rasmi ya Simba Day ni 03 Agosti](https://kijiweforum.com/wp-content/uploads/2024/06/simba.png)
SIMBA DAY 2024, Tarehe rasmi ya Simba Day ni 03 Agosti
Semaji Ahmed Ally ametangaza rasmi tarehe ya Simba Day.
Video kamili inapatikana kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMoja pic.twitter.com/FZ9XkdH0aZ
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) June 28, 2024
SEE ALSO:
- Cape Town City new signings 2024/2025
- Zambia National Football Team vs Kenya National Football Team Lineups
- USAJILI YANGA, FIFA yaondoa zuio la kusajili kwa Yanga
- Steven Mukwala kujiunga na Simba SC baada ya kuondoka Asante Kotoko
- TETESI ZA USAJILI Prince Dube kwenda Yanga
- CAF Ranking of African Clubs 2024
- Bafana Bafana Starting Lineup vs Mozambique Today June 26, 2024
- Chile National Football Team vs Argentina National Football Team Lineups
- 2024 Naija Super 8 Fixtures, Kick-offs time and Teams
- 2024 KZN Premier’s Cup Fixtures and Kickoffs
- My Brother’s Keeper character portrait, Zola Mhlongo as Nkosazana
- DAR BOXING DERBY Ratiba ya Mapambano na Muda wake
- CAF Club Ranking 2024/25 Best Football Club Africa
Leave a Reply