TETESI ZA USAJILI Prince Dube kwenda Yanga | PRINCE DUBE siku ya jana ameweka kiasi cha dola 200,000 za Kimarekani kwenye account ya Benki ya AZAM FC ikiwa ni sehemu ya kutekeleza vifungu vya kimkataba (Termination Clause) ili aweze kuondoka huku deni lilosalia inakadiriwa kuwa ni dola 100,000 za Kimarekani na anapaswa kumalizia ingawa bado haijafahamika kwa mujibu wa chanzo changu kama watamruhusu aende kisha atamalizia deni baadae, ‘busara’ inasalia kwa Azam FC.
![TETESI ZA USAJILI Prince Dube kwenda Yanga](https://kijiweforum.com/wp-content/uploads/2024/03/dube.png)
Kwenye mchakato wote Azam wamesimama kwenye weledi pekee, wala hawakutaka maneno ya koridoni bali vifungu vya kimkataba, AZAM with proper moves kazi nzuri kutoka kwa Viongozi wa Azam na CEO wao.
TETESI ZA USAJILI Prince Dube kwenda Yanga
Home of Champions wananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko pic.twitter.com/ToBMPKiqXK
— Prince Dube (@prince_dube9) June 25, 2024
SEE ALSO:
- Bafana Bafana Starting Lineup vs Mozambique Today June 26, 2024
- Chile National Football Team vs Argentina National Football Team Lineups
- 2024 Naija Super 8 Fixtures, Kick-offs time and Teams
- 2024 KZN Premier’s Cup Fixtures and Kickoffs
- My Brother’s Keeper character portrait, Zola Mhlongo as Nkosazana
- DAR BOXING DERBY Ratiba ya Mapambano na Muda wake
- CAF Club Ranking 2024/25 Best Football Club Africa
- Sudan Super League Fixture 2024
- Matokeo ya Kidato cha Sita 2024/2025 NECTA ACSEE Results
- Matokeo ya kidato cha sita 2023/2024
- MSIMAMO Ligi Kuu NBC 2024/2025 Premier League
- TETESI za Usajili wa chama kwenda Yanga!
Leave a Reply